
Na Jacquiline Mrisho-Maelezo
Tume
ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza siku ya kupiga kura kwa baadhi ya
majimbo ambayo uchaguzi wake ulihairishwa kutokana na sababu mbalimbali
Akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametaja siku hiyo ya uchaguzi itakuwa Disemba 13, mwaka huu.
“Natoa
rai kwa Wananchi wote waliojiandikisha kama wapiga...