KASSIM MAJALIWA ATEULIWA KUWA WAZIRI MKUU MPYA | MAFINGA YETU BLOG
Breaking News
Loading...

Thursday, November 19, 2015

KASSIM MAJALIWA ATEULIWA KUWA WAZIRI MKUU MPYA

Hatimaye Kile kitendawili cha Nani Atakuwa Waziri Mkuu wa Awamu ya Tano Kimepata jibu asubuhi hii..
Rais Amemteua Mh Majaliwa Kassim kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Tanzania
Jina hilo limetangazwa leo na Spika wa bunge Mh. Ndugai.
Tusubiri kama ataendana na kauli mbiu ya #Hapakazi tu.

Je Kwa Maoni yako Anafaa kuwa Waziri Mkuu?

google+

linkedin

MAFINGA YETU BLOG
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0768 260834. Soma Zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    IDADI YA WASOMAJI