MAFINGA YETU BLOG
Breaking News
Loading...

Sunday, November 22, 2015

MAGUFULI KATIKA KUKOMESHA ALBINO

Image result for magufuli
RAIS John Magufuli amesema nchi bado inakabiliwa na tatizo la imani za kishirikina dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kufanyiwa vitendo kinyume na haki za binadamu, ikiwemo kuuawa na kueleza kuwa kinachotakiwa ni kubadilisha mitazamo ya watanzania kuhusu albino.

Aidha, kukosekana kwa taarifa, ushahidi pamoja na ushahidi wa kimahakama wa matukio wanaofanyiwa albino ni changamoto nyingine kutokana na kufanyika kwa siri nyakati za usiku na wakati mwingine kushirikisha ndugu.

Dk Magufuli alisema hayo wakati wa mkutano wa siku mbili wa viongozi wa vyama na mashirika ya watu wenye ulemavu wa ngozi kutoka nchi zaidi ya 29 za Afrika huku nchi 12 na Ulaya kukiwa na wataalamu wa kutoa elimu kuhusu changamoto zinazowakabili albino.

Alisema bila kuwa na taarifa za kutosha ni vigumu kwa polisi kufungulia kesi wahusika wa vitendo hivyo na kuwataka washiriki wa mkutano huo kujadili kwa undani kuhusu suala hilo kwa lengo la kuangalia kisheria.

Dk Magufuli aliyewakilishwa katika mkutano huo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii, Dk Donan Mbando alielezwa kuwa pia nchi inakabiliwa na upungufu wa taarifa sahihi kuhusu albino inasababisha kuendeleza imani potofu kuhusu watu hao.

Alisema imani hizo zina mara nyingi zinazosambazwa na waganga wa kienyeji inasababishwa na kutoelewa usahihi wa watu hao kuzaliwa wakiwa albino.

Dk Magufuli alisema serikali imefanya jitihada mbalimbali kuhakikisha wanapunguza vitendo hivyo vya kikatili, ikiwa ni pamoja na kuanzisha vituo mbalimbali kwa ajili ya kuhudumia watu hao katika mikoa ya Kigoma, Kagera, Mwanza, Shinyanga,Tabora na Tanga.

Mkurugenzi wa shirika la Under the Same Sun nchini, Vicky Ntetema alisema mkutano huo una washiriki karibu 200 kupewa mafunzo jinsi ya kulinda haki zao na kuhusiana na kesi kupeleka mahakamani kwani nchi nyingi wanafanyiwa ukatili lakini kesi hazifiki mahakamani.

Saturday, November 21, 2015

TAZAMA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI BORA KUTOKA UDOM NA GPA ZAO,PIA MTAZAME MWANAFUNZI BORA KOZI YA FLUID MECHANICH KUTOKA UDOM

THE UNIVERSITY OF DODOMA


6TH GRADUATION CEREMONY

 CONVOCATION AND PRIZE GIVING CEREMONY
The University of Dodoma would like to inform all members of the University Convocation and the general public that the 6th Convocation and Prize giving ceremony is scheduled for Wednesday 25th November 2015 at the Chimwaga Complex.
All prize awardees (below) are required to be seated in the Chimwaga Hall by 12:00Noon. 

DOWNLOAD Dully SYKES Ft. YAMOTO BAND - TUACHIE

Friday, November 20, 2015

NEW: NOTICE TO LOAN APPLICANTS TO SUBMIT COPIES OF CERTIFIED BIRTH CERTIFICATES

  HESLB LOGO

NOTICE TO LOAN APPLICANTS TO SUBMIT COPIES OF CERTIFIED BIRTH CERTIFICATES

The Higher Education Students’ Loans Board (HESLB) is finalizing allocation of students’ loans for the 2015/2016 Academic Year. In the process, we have identified 336 eligible applicants whose loan application forms miss birth certificates to authenticate their nationality.
 Therefore, HESLB hereby calls upon loan applicants for academic year 2015/2016 whose names are appended herewith to physically come to HESLB offices on Plot No. 8, Block No. 46 Sam Nujoma Road, Mwenge - Dar es Salaam to submit their certified copies of birth certificates.  It should be remembered that, the Board had earlier on given loan applicants fourteen days starting from 27th August, 2015 to 11th September, 2015 to rectify anomalies found in their application forms.
 Names of concerned applicants can be accessed here
The deadline for submission of certified birth certificates is 30th November, 2015 at 5.00pm.



Issued by:
  Executive Director
  HIGHER EDUCATION STUDENTS’ LOANS BOARD

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI NOVEMBER 21 2015




BODI YA MIKOPO YAKARIBISHA MAOMBI YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA SPECIAL DIPLOMA -UDOM 2015/2016

HESLB LOGO
HESLB has started officially to receive electronic applications for students admitted to pursue SPECIAL DIPLOMA IN SCIENCE/MATHEMATICS EDUCATION at UDOM from 18th-Nov-2015 at 00:00 Hours through 2nd-Dec-2015 at 23:59 Hours. Please read carefully ALL information before filling and submitting your data!

Thursday, November 19, 2015

SOMA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA NOVEMBER 20 2015


 

IDADI YA WASOMAJI