CCM YAMPITISHA JOB NDUGAI KUGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE. | MAFINGA YETU BLOG
Breaking News
Loading...

Monday, November 16, 2015

CCM YAMPITISHA JOB NDUGAI KUGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mh. Job Ndugai ameteuliwa kuwa mgombea rasmi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi (CCM). Wabunge wateule wa CCM wamempitisha Job Ndugai kuwania uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya wenzake wawili kujitoa. Via>>EA...

 

 

CCM YAMPITISHA JOB NDUGAI KUGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE.

google+

linkedin

MAFINGA YETU BLOG
  • Karibu katika Mtandao Huu unaotoa Habari Za Uhakika Kutoka Ndani Na Nje Na Tanzania. Kama una Tangazo,Habari,Picha,Ushauri n.k Wasiliana nasi kwa simu namba 0768 260834. Soma Zaidi

    0 comments:

    POST A COMMENT

     

    IDADI YA WASOMAJI